Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitoa heshima za Mwisho katika jeneza la Marehemu Mheshimiwa Dr Elly Marko Macha Mbunge wa Viti maalumu Chadema ambaye mwili wake ulifikishwa katika viwanja vya Bunge Mjini Dodoma kwa ajili ya Bunge kuaga 21/Apr/2017 Dr Macha alifariki akiwa katika matibabu Nchini Uingereza Picha na PMO
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni