.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 22 Aprili 2017

WAZIRI MKUU AUNGANA NA WABUNGE KUUAGA MWILI WA DKT. ELLY

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitoa heshima za Mwisho katika jeneza la Marehemu Mheshimiwa Dr Elly Marko Macha Mbunge wa Viti maalumu Chadema ambaye mwili wake ulifikishwa katika viwanja vya Bunge Mjini Dodoma kwa ajili ya Bunge kuaga 21/Apr/2017 Dr Macha alifariki akiwa katika matibabu Nchini Uingereza Picha na PMO
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitoa salamu za Serekali katika Viwanja vya Bunge Mjini Dodoma 21/Apr/2017 wakati wa shughuli ya kuaga Mwili wa Maerehemu Mheshimiwa Dr Elly Marko Macha ambaye alifariki Nchini Uingereza alipokuwa katika matibabu. Picha na PMO

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimpa mkono wa pole Glory Haika Peter (24) ambaye ni Mtoto wa Maerehemu Mheshimiwa Dr Ell Macha Mbunge viti Maalumu Chadema ,Wakati wakusindikiza Mwili wa marehemu katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma 21/Apr/2017. Picha na PMO

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni