Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro (kulia) akizungumza na Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Abubakar Zubeir (kushoto), alipomtembelea ofisini kwake Makao Makuu ya BAKWATA jijini Dar es salaam jana. IGP Sirro, alisema Jeshi la Polisi litaendelea kushirikiana na viongozi wa kidini katika kuimarisha amani nchini.
Jumanne, 22 Agosti 2017
IGP SIRRO AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MUFTI WA TANZANIA
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro (kulia) akizungumza na Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Abubakar Zubeir (kushoto), alipomtembelea ofisini kwake Makao Makuu ya BAKWATA jijini Dar es salaam jana. IGP Sirro, alisema Jeshi la Polisi litaendelea kushirikiana na viongozi wa kidini katika kuimarisha amani nchini.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni