.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 13 Agosti 2017

WAZIRI MKUU AKIWA WILAYA YA UYUI MKOA WA TABORA KWA ZIARA YA KIKAZI

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwasalimia wananchi katika Uwanja wa Nsololo jimbo la Igalula Wilaya ya Uyui mara baada yakuwasili leo August 12.2017 na kufanya mkutano wa hadhara katika Wilaya ya Uyui Mkoa wa Tabora
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Mkewe Mama Majaliwa wakiwasalimia wananchi katika Uwanja wa Nsololo jimbo la Igalula Wilaya ya Uyui mara baada yakuwasili leo August 12.2017 na Waziri Mkuu kufanya mkutano wa hadhara katika Wilaya ya Uyui Mkoa wa Tabora
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Mjumbe wa Halimashauri Kuu ya CCM Taifa na Mkuu wa Wilaya Mstaafu Bwana Jackson Masome .walipo kutana katika mkutano wa hadhara leo August 12.2017 katika Wiaya ya Uyui Tabora. Waziri yupo Mkoa wa Tabora kwa ziara ya Kikazi

                                                                   PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni