Manchester United itavaana na
Swansea City katika mzunguko wa nne wa kombe la Carabao huku Chelsea
wao wakipangiwa kuikaribisha Everton katika droo iliyochezeshwa.
Manchester City wao wamepagiwa
kucheza na Wolves nao Tottenham wakiwakaribisha West Ham katika mchezo
wa mafahari wa London.
Arsenal itacheza na Norwich City,
wakati Leicester City ambao waliwatoa Liverpool ikikutana na Leeds
United.
Bournemouth itakuwa mwenyeji wa
Middlesbrough na Bristol City ikishuka dimbani kuvaana na Crystal
Palace
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni