Baada ya kustaafu soka Rio Ferdinand
amekuwa anajifua vilivyo kujenga mwili na misuli ili kuingia rasmi
katika ulimwengu wa ngumi.
Mchezaji huyo wa zamani wa
Manchester United anatarajia kupewa leseni yake ya kupigana ngumi na
kuwania mkanda akisaidiwa na kampuni ya Betfair.
Rio Ferdinand akionyesha mwili wake ulivyojengeka baada ya kupiga chuma
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni