.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 27 Oktoba 2017

HARRY KANE KUIKOSA MANCHESTER UNITED JUMAMOSI

Mshambuliaji nyota wa Tottenham Harry Kane hatoweza kushuka dimbani kesho dhidi ya Manchester United hapo kesho kutokana na kuwa na maumivu ya misuli ya kwenye paja.

Kane alifunga magoli mawili wakati Tottenham ikiifunga Liverpool magoli 4-1 jumapili, kabla ya kutoka nje katika dakika ya 88.

Mshambuliaji huyo wa timu ya taifa ya Uingereza kwa sasa anaongoza kwa kufumania nyavu katika Ligi Kuu ya Uingereza akiwa na magoli nane.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni