.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 23 Oktoba 2017

REAL MADRID YAREJEA KATIKA NAFASI YA TATU LA LIGA

Timu ya Real Madrid imerejea katika nafasi ya tatu ya msimamo wa La Liga, baada ya kupata ushindi wa kiulaini wa magoli 3-0 dhidi ya timu ya Eibar iyoyosuasua.

Mabingwa hao watetezi waliongoza kwa magoli 2-0 hadi kipindi cha pili, yaliyopachikwa na Paulo Oliveira aliyejifunga na kisha Isco kutumbukiza la pili.

Cristiano Ronaldo hakufanikiwa kutikisa nyavu, lakini alikuwa beki Marcelo aliyetikisa nyavu na kufunga goli la tatu baada ya kugongeana vyema na Karim Benzema.
                  Mchezaji wa Eibar Paulo Oliveira akijifunga wakati akijaribu kuokoa mpira 
      Beki wa Eibar, Arbilla akimkata kwanja beki wa Real Madrid Mfaransa Theo Hernandez

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni