.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 22 Novemba 2017

CRISTIANO RONALDO AVUNJA REKODI REAL IKIFANYA KUFURU UEFA

Cristiano Ronaldo amevunja rekodi nyingine wakati mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya Real Madrid ikiichakaza Apoel Nicosia kwa magoli 6-0 na kutinga hatua ya 16 bora.

Katika mchezo huo Ronaldo alifunga magoli mawili na kufikisha idadi ya magoli 18 katika Ligi ya Mabingwa Ulaya mwaka huu ikiwa ni idadi kubwa ya magoli kuwahikufikiwa.

Real Madrid wamekuwa na msimu mbovu, lakini jana waliutawala mchezo huo na kupata ushindi mkubwa ugenini.
     Karim Benzema akifunga goli baada ya kupatiwa pande na Cristiano Ronaldo
Karim Benzema na Cristiano Ronaldo wakiwa wamelala chini baada ya kugongana wakiwani mpira

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni