Jumapili, 25 Februari 2018
MABALOZI TAFUTENI WAWEKEZAJI WA SEKTA YA UTALII-MAJALIWA
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, leo Februari 24/2018 ameagana Ofisini kwake Dar es salaam na Mabalozi wanao kwenda kuiwakilisha Tanzania katika nchi walizo pangiwa,kulia ni Balozi anaye kwenda Nchini Sweden.Dr Wilbroad Slaa .na kushoto ni Balozi anayekwenda nchini Nigeria Balozi Muhidin Ally Mboweto.
Waziri Mkuu akiwa katika picha ya pamoja na mabalozi wateule
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Balozi anaye kwenda kuiwakilisha Tanzania katika Nchi ya Sweden Balozi Dr. Wilbrodi Slaa . kushoto kwa Waziri Mkuu ni Balozi anyekwenda Nchini Nigeria Balozi Muhidin Ally Mboweto.Mabalozi hao walifika ofisi kwa Waziri Mkuu Dar es salaam leo Februari 24/2018 kwa ajili ya kumuaga . PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni