.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 16 Machi 2018

KOCHA ARSENE WENGER AHOFIA KUKUTANA NA ATLETICO MADRID


Kocha Arsene Wenger amesema angependa kutokutana na Atletico Madrid katika hatua ya robo fainali ya Ligi ya Europa baada ya kuifunga AC Milan jana.

Mshambuliaji Muingereza Danny Welbeck alifunga magoli mawili huku naye Granit Xhaka akifunga kwa shuti kali la mbali na kushinda kwa magoli 3-1.

Hakan Calhanoglu alifunga goli la kwanza katika mchezo huo na kuifanya AC Milan kuongoza kupata goli, lakii wakajikuta wakitolewa kwa jumla ya magoli 5-1.
       Kipa wa AC Milan akiangalia mpira uliotinga wavuni baada ya Granit Xhaka kuachia shuti kali
           Danny Welbeck akifunga goli lake la pili kwa mpira wa kichwa na kufanya matokeo kuwa 3-1

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni