.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 14 Machi 2018

MWANASAYANSI MAARUFU PROFESA STEPHEN HAWAKING AFARIKI DUNIA

Mwanasayansi maarufu duniani bingwa Fizikia Profesa Stephen Hawaking amefariki dunia mapema leo akiwa na umri wa miaka 76.

Familia ya Hawaking ambaye alikuwa ni mtu mwenye maono ya hali ya juu, imesema mwanafizikia huyo amefariki akiwa nyumbani kwake Cambridge.

Mwanasayansi huyo Muingereza alijipatia umaarufu duniani pia anafahamika mno kwa vitabu vyake vya sayansi kikiwemo cha A Brief History of Time.

Akiwa na umri wa miaka 22 Profesa Hawking alipewa miaka michache tu ya kuishi baada ya kubainika kuugua ugonjwa adimu wa nyuroni.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni