Katika mchezo mwingine wa FA
Christian Eriksen amefunga magoli mawili wakati Tottenham wakitinga
nusu fainali ya Kombe la FA kwa kuifunga Swansea City magoli 3-0.
Magoli mazuri yaliyofungwa na
Eriksen na Erik Lamela katika kipindi cha kwanza yaliifanya Spurs
kukaa vyema katika mbio za kutwa kombe hilo.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni