Hawa Ngh'umbi akisaini kitabu cha wageni
Elizabeth Lameck akisaini kitabu cha wageni
Baadhi ya wajumbe wakienda ukumbini
Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Dar es Salaam, Dorothy Kilave (wapili kulia) akiwasili ukumbini na viongozi wenzake wa meza kuu. Kushoto ni Mjumbe wa baraza la Utekelezaji UWT mkoa wa Dar es Salaam Elizabeth Lameck, Katibu wa UWT mkoa wa Dar es Salaam Tatu Malyaga na kulia ni Mwenyekiti wa UWT Kigamboni Rukia Kamal
Wajumbe wakishangilia ukumbini
Diwani wa viti Maalum Kassidi Likacha akisalimia baada ya kutambulishwa
Diwani wa viti maalum Mwanakombo Mwinyimbegu kisalimia baada ya kutambulishwa ukumbini
Katibu wa UWT mkoa wa Dar es Salaam tatu Malyaga akisalimia na kutoa utambulisho

Hawa Ngh'umbi akisalimia bada ya kutambulishwa
Wajumbe wakishangilia
Katibu wa UWT Kigamboni Kimenta Mavala akikabidhi risala kwa mgeni rasmi baada ya kuisoma
Mwenyekiti wa UWT Kigamboni Rukia kamal akifungua kikao
Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Dar es Salaam Dorothy Kilave (kulia na Katibu wake Tatu Malyaga wakishangilia baada ya kikao kufunguliwa. Kushoto ni Mjumbe wa Baraza la Utekelezaji UWT mkoa wa Dar es Salaam Elizabeth Lameck
Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Dar es Salaam Dorothy Kilave akisalimia kabla ya kuanza kuzungumza na wajumbe kwenye kikao hicho.
Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Dar es Salaam Dorothy Kilave akizungumza na wajumbe kwenye kikao hicho.
Wajumbe kwenye kikao hicho
Mjumbe akitoa hoja
Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Dar es Salaam Dorothy Kilave akizungumza na wajumbe katika kikao hicho cha kazi kilichofanyika Temeke, Dar es Salaam leo
Katibu wa UWT Wilaya ya Kigamboni Kimenta Mavala akionyesha tuzo, kabla ya kukabidhiwa kwa Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Dar es Salaam Dorothy Kilave kwa kushika nafasi hiyo
Mwenyekiti wa UWT Wilaya ya Temeke Rukia Kamal akikabidhi tuzo hiyo kwa Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Dar es Salaam Dorothy Kilave
Dorothy Kilave akionyesha tuzo hiyo baada ya kukabidhiwa
Dorothy Kilave akionyesha tuzo hiyo baada ya kukabidhiwa. Kushoto ni Mjumbe wa Baraza la Utekelezaji UWT mkoa wa Dar es Salaam Elizabeth Lameck na Katibu wa UWT mkoa wa Dar es Salaam Tatu Malyaga
Tuzo hiyo
Diwani wa Viti Maalum CCM Mwanakombo Mwinyimbegu akimpongeza Dorothy Kilave
Mjumbe wa Baraza la Utekelezaji UWT Wilaya ya Temeke Nuru Kassian (kushoto) akiwa na Diwani wa Viti Maalum CCM Mwanakombo Mwinyimbegu mwishoni mwishoni mwa kikao hicho. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO-CCM Blog











































Hakuna maoni :
Chapisha Maoni