.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 9 Desemba 2013

MAMIA WAJITOKEZA KUOMBOLEZA KATIKA ENEO ALILOPTA AJALI PAUL WALKER, MWIGIZAJI MAARUFU WA PICHA YA FAST & FURIOUS

 Mamia ya mashabiki na waombolezaji walijitokeza kwa wingi hapo jana jumapili katika eneo la Valencia California ambalo mwigizaji maarufu wa picha ya Fast and Furious, Paul Walker na rafiki yake Roger Rodas walifariki dunia baada ya gari kupoteza mwelekeo na kugonga nguzo kisha kulipuka
 Mashada ya maua yakiwa yamewekwa hapo jana jumapili Dec 08'2013 katika eneo ilipotokea ajali hiyo wiki iliyopita

 Paul Walker akiwa na binti yake Meadow mwenye miaka 15 kulia wakitembea mtaani huku wakila ice cream wakati wa uhai wake
Paul Walker enzi za uhaio wake akiwa na rafiki zake Ronn Shikari katikati na Vinnce Krause walipokuwa wakizungumza ni jinsi gani Walker anavyotaka kustaafu kucheza sinema na kupata muda wa kuwa karibu na binti yake Meadow

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni