.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 10 Desemba 2013

WANAHABARI WA ZIARA YA KOMREDI KINANA MIKOANI WAREJEA KWA TRENI DAR KWA FURAHA

Wanahabari wakiwapungia mikono wananchi walipokuwa wakiondoka kwa treni ya Tazara,Makambao kurejea Dar baada ya ziara ndefu ya Komredi Kinana katika mikoa minne. ambapo wametumia siku 26 na Kinana kuhutubia mikutano zaidi ya 100.
Mmiliki wa Matukio Blogu, Kamanda Richard Mwaikenda (kushoto) akiwa na Afisa wa CCM Makao Makuu, ambaye pia ni mmiliki wa Blogu ya The Nkoromo  wakiwa ndani ya chumba cha Treni ya Tazara wakisafiri kutoka Makambako kwenda Dar.
Wanahabari waliokuwa kwenye msafara wa Komredi Kinana wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuwasili Stesheni ya Tazara, Dar es Salaam leo asubuhi.PICHA ZOTE NA KAMANDA WA MATUKIO BLOG.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni