.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 10 Desemba 2013

MAELFU YA WAOMBOLEZAJI KUHUDHURIA IBADA YA KITAIFA YA MANDELA JIJINI JOBURG

     Uwanja wa FNB utakaofanyika Ibada ya Kitaifa ya Kumbukumbu ya Mandela

Maelfu ya waombolezaji wanatarajiwa kuwepo Jijiji Johannesburg kuhudhuria Ibada ya kitaifa ya kumbukumbu ya Nelson Mandela itakayofanyika leo.

Rais wa Marekani Barack Obama pamoja na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon watakuwa miongoni mwa waombolezaji.

Ibada hiyo itafanyika kwenye uwanja wa FNB, wenye uwezo wa kuingiza watu 90,000 ambao ndio ambao Mandela alitoa hotuba yake ya kwanza kwa umma.

Rais huyo wa zamani wa Afrika Kusini alifariki dunia Desemba 5, akiwa na umri wa miaka 95 na anatarajiwa kuzikwa Desemba 15.




Hakuna maoni :

Chapisha Maoni