.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 10 Desemba 2013

WATUMISHI WA AFYA KENYA WATANGAZA KUANZA MGOMO WA NCHI NZIMA

Chama cha Watumishi wa Afya nchini Kenya kimeitisha mgomo wa kitaifa baada ya kushindwa kufikia muafaka na serikali.

Katibu wa Chama cha Madaktari, Wafamasia na Madaktari wa Meno, Sultani Matendechere ametangaza kuwa mgomo huo utaanza usiku wa kuamkia leo katika hospitali zote za umma.

Watumishi hao wa afya wanapinga hatua ya serikali kuhamishia huduma za afya ikiwemo malipo ya mishahara yao kuwa chini ya serikali za kaunti.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni