.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 23 Februari 2014

LA LIGA MOTO, FC BARCELONA YACHAPWA 3-1 NA REAL SOCIEDAD

 Ligi kuu ya Hispania " La Liga " jana ikuwa siku mbaya kwa timu ya Fc Barcelona baada ya vijana hao wanaosifia kwa kutandaza safi kujikuta wakichapwa mabao 3-1 na Real Sociedad. Mabao ya Sociedad yaliwekwa kimiani na wachezaji Carlos Vela, Antoine Griezmann na Gorca Elustondo, huku lile la kufutia machozi la Barcelona likifungwa na Lionel Messi

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni