.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 23 Februari 2014

RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AFUNGUA MKUTANO WA MAABARA

TA1A4850
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akifungua Mkutano wa Maabara za Utalii,Mazingira Bora ya Biashara na Upatikanaji wa Rasilimali fedha,katika ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja leo,(kulia) Waziri,Ofisi ya Rais na Utawala Bora,DK.Mwinyihaji Makame Mwadini na Katibu Mkuu Kiongozi Dk.Abdulhamid Yahya Mzee,(kshoto). [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.] TA1A4870 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akifungua Mkutano wa Maabara za Utalii,Mazingira Bora ya Biashara na Upatikanaji wa Rasilimali fedha,katika ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja leo. [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni