.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 23 Februari 2014

LIGI KUU UINGEREZA, MANCHESTER UNITED YAZINDUKA NA KUICHAPA CRYSTAL PALACE 2-0

 Manchester United jana walizinduka na kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Crystal Palace katika mchezo wa ligi kuu Uingereza. Katika mchezo huo ambao Palace walikuwa nyumbani, walijikuta hawana ubavu wa kuwazuia Ron Van Persie na Rooney kuifungia Man U mabao hayo ambayo yameisaidia kutoka nafasi ya 7 na kuruka hadi nafasi 6




Hakuna maoni :

Chapisha Maoni