.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 23 Februari 2014

LIGI KUU UINGEREZA,CHELSEA YAJIKITA ZAIDI KILELENI BAADA YA KUIFUNGA EVERTON 1-0

 Raha ya kufunga ni kushangilia!! Wachezaji wa Chelsea wakimpongeza John Terry baada ya kufunga bao muhimu na kuzoa point zote tatu jana dhidi ya Everton
                                          Kizazaa zaa langoni mwa Everton
                                Frank Lampard akishangilia na John Terry
Huko huko kula tano Terry!! Kocha wa Chelsea Jose Mourinho akifurahia bao la ushindi. 

Chelsea jana aliendelea kujiimarisha katika msimamo wa ligi kuu Uingereza baada ya kuifunga Everton bao 1-0 katika mchezo ambao ulikuwa na upinzani mkali na kuwafanya Chelsea kusubiri hadi dakika za majeruhi ndipo wapate bao hilo la ushindi. Kwa matokeo hayo, Chelsea wanaendelea kukaa kileleni

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni