.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 22 Februari 2014

RAIS WA VENEZUELA ATAKA KUKUTANA NA OBAMA KUMALIZA TOFAUTI YA MATAIFA HAYO MAWILI

Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro amemtaka rais wa Marekani Barack Obama kukutana nae kwa mazungumzo ambayo yatamaliza tofauti kubwa iliyopo sasa kati ya nchi hizo mbili.

Maduro amesema mkutano huo utasaidia kuuwekwa ukweli hadharani na kumaliza tofauti kabisa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni