.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 22 Februari 2014

WASANII WA MUZIKI NA BONGO MOVIE WAKUTANA KATIKA SEMINA JIJINI DAR ES SALAAM

002
Mkuu wa Mawasilano, Promosheni na Uhamasishaji wa Mfuko wa udhibiti wa mifuko ya hifadhi ya jamii nchini (SSRA), Sarah Kibonde akiwaelezea wasanii kuhusiana na mifuko mbalimbali ya hifadhi ya  jamii kama NSSF,PSPF ,LAPF,GEPF,PPF,NHIF  juu ya faida pale wapofikia muda wakustaafu kazi  kisanii au kupatwa na matatizo mbalimbali (katika), Mwanasheria COSOTA Bw,Zephania Lyamuya (kusho), Kaimu Afsa Kumbumbuku COSOTA Bw Philemon Kilaka. 003
Afsa Mwandamizi wa Huduma kwa Mlipa Kodi TRA, Msafi Mbibo akiwaelezea wasanii mwongozo wa utumiaji mashine maalumu za kodi za kielekitroniki (EFDs), wakati wa semina ya hatimiki kwa sanii mbalimbali wa bongo movie pamoja na muziki, 004
Kaimu Afsa Kumbumbuku COSOTA Bw Philemon Kilaka.akiwaezea wasanii jinsi hakimiliki na mikataba katika kazi za sanaa. 005
Afisa wa Mfuko wa Penseni (PSPF), Haji Jamadary nae akiwaelezea wasanii kuhusiana na uchangiaji katika mpango wa hiyari wakati wa kutegemea upatikanaji wa kipato cha ziada kwa ajiliya akiba. 006Mwenyeki wa Bongo Movie, Steven Mengeze akiwasisitiza wasanii wenzake kuhudhuria kwenye semina pamoja na  kujiunga na  mifuko ya hifadhi ya jamii na namna ya kufuatilia  upatikanaji wa haki za kazi zao za sanaa.
007
Wasanii mbalimbali wakifuatilia kwa umakini mada mbalimbali wakati wa semina hiyo

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni