.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 23 Februari 2014

TANZANIA YAONGOZA KWA KUZALISHA MAMILIONEA IKIFUATIWA NA KENYA

Tanzania imetajwa kuwa ni nchi inayoongoza kwa kuzalisha mamilionea wanaomiliki dola ya Marekani kwa haraka kuliko nchi nyingine yoyote ya Afrika Mashariki.

Kwa mujibu wa Kitabu cha Utajiri wa Afrika kwa mwaka 2013, mamilionea wapya wanatarajiwa kuibuka Tanzania kuliko Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi.

Wakati mwaka 2007 Tanzania ilikuwa na mamilionea 3,700, idadi hiyo imeongezeka na kufikia 5,600 hadi kufikia mwaka 2013.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni