.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 23 Februari 2014

WABUNIFU WA MAVAZI WA KIMATAIFA WAANZA KUMNYEMELEA LUPITA NYONG'O

 Lupita Nyong'oa akiwa amevalia gauni la kijani la Dior kwenye tuzo za BAFTA

Licha ya kuwa kivutio kwa uhusika wake katika filamu ya 12 Years A Slave, muigizaji filamu Lupita Nyong'o sasa amekuwa akinyemelewa mno na wabunifu wa mavazi wa Kimataifa ili avae nguo zao kuzitangaza.

Miongoni mwao zimo kampuni kubwa za mavazi za Uingereza za Stella McCartney na Alexander McQueen, ambazo zinamuomba Lupita raia wa Kenya kuvaa nguo zao kwenye tuzo za Oscar, baada ya kuvaa gauni la Dior katika tuzo za BAFTA.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni