.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 22 Februari 2014

UKRAINE BADO HALI SHWARI, SASA WAPINZANI WANATAKA RAIS YANUKOVICH AJIUZULU

Kiongozi wa upinzani nchini Ukraine Vital Klitschko amemtaka Rais wa nchi hiyo Victor Yanukovich akubali kuachia madaraka sasa "ajiuzulu" licha ya makubaliano ya kuitisha uchaguzi mkuu wa nchi hiyo na kuunda serikali itakayokuwa na sura ya umoja wa kitaifa. 

Wapinzani wanataka uchaguzi uwe umefanyika mpaka kufikia tarehe 25 mwezi wa 5 na sio mwishoni wa December


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni