.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 13 Machi 2014

AFRIKA KUSINI YAWATUHUMU MAAFISA WA UBALOZI WA RWANDA KWA MAUAJI


Nchi ya Afrika Kusini imewatuhumu maafisa Ubalozi watatu wa Rwanda iliyowafukuza kwa kuhusika na mauaji pamoja na majaribio ya kuu raia wa Rwanda wanaoishi nchini Afrika Kusini.

Waziri wa Sheria wa Afrika Kusini Jeff Radebe amesema nchi yake inaoushahidi unaowahusisha maafisa hao wa Rwanda na shughuli zilizo kinyume na sheria za nchi.
Maafisa hao wa Ubalozi wa Rwanda nchini Afrika Kusini walifukuzwa Ijumaa kufuatia tukio la shambulio la nyumba ya mkimbizi wa Rwanda, Kayumba Nyamwasa Jijini Johannesburg.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni