.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 14 Machi 2014

HELKOPTA YAANGUKA UINGEREZA NA KUUA WATU WANNE


Polisi wamesema watu wanne wamekufa baada ya helkopta kuanguka kutokana na ukungu mzito Mashariki mwa Uingereza kwenye Kaunti ya Norfolk.

Polisi waliitwa kufika katika eneo la ajali katika mji wa Becceles baada ya watu kutoa taarifa ya kusikia kishindo kikubwa.

Maafisa wa polisi wamezingira eneo la tukio wakisaidiwa na helkopta za polisi katika eneo la ajali hiyo ambalo limeshabainika.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni