.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 14 Machi 2014

TOTTENHAM YACHAPWA 3-1 NA BENFICA LIGI YA EUROPA

 Michuano ya ligi ya Europa imeendelea usiku wa kumakia leo kwa kushuhudia timu ya soka ya Tottenham ikicheza nyumbani katika uwanja wake wa White Hart Lane ikikubali kichapo cha mabao 3-1 kutoka kwa Benfica iliyosafiri kutoka Ureno.Tottenham ilikubali kipigo hicho mbele ya mashabiki 35,000 waliofika kuangalia kiwango cha timu yao.
 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni