.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 7 Machi 2014

KAPTENI ANAPOPIGA PICHA YA KUMBUKUMBU NA MELI KUBWA KULIKO ZOTE DUNIANI

Kapteni wa Meli ya Queen Mary 2 ambayo ni meli kubwa zaidi duniani ameamua kupiga picha ya kumbukumbu na meli hiyo ambayo amejikuta akionekana kama mbilikimo.

Kapteni huyo Kevin Oprey alisimama juu ya sehemu ya chini ya meli hiyo iliyotokeza kwa mbele ya meli hiyo yenye uzito wa tani 151,200. Picha hii ni sehemu ya kumbukumbu ya meli hiyo kutimiza miaka kumi mwezi Mei mwaka huu.
 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni