.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 12 Machi 2014

MAHAKAMA NCHINI KENYA YAWAONYA WAHADHIRI WALIOKWENYE MGOMO


Mahakama ya Kazi Kenya imeonya kuwa wafanyakazi wa vyuo vikuu vya umma kutojihusisha na mgomo unaoendelea kwa kuwa kufanya hivyo ni kosa na wataadhibiwa.
Jaji Monica Mbaru amesema mgomo wa wahadhiri na watumishi wa vyuo ni kinyume na sheria kutokana na mahakama kutoa amri ya kuuzuia mgomo huo jana.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni