.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 9 Machi 2014

MAKAMU WA RAIS WA AFGHANISTAN MARSHAL MOHAMMAD QASIM FAHIM AFARIKI DUNIA

Mmoja kati ya Makamu wa Rais wawili wa Afghanistan, Marshal Mohammad Qasim Fahim, amefariki dunia kifo cha kawadida akiwa na umri wa miaka 57.

Serikali ya Afghanistan imetangaza siku tatu za maombolezo kufuatia kifo hicho ambapo pia bendera zote zitapeperushwa nusu mlingoni.

Marshal Fahim alikuwa ni kiongozi wa kabila dogo la Tajik, ambaye pia aliwahi kubwa mbabe wa vita.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni