Mr & Mrs West wakifurahia Honeymoon yao mbali kabisa na mapaparazi.
Kim Kardashian akiwa na mumewe Kanye West wakifurahia fungate lao baada ya harusi yao iliyofanyika jumamosi May 24' 2014 na kuhudhuriwa na wageni waalikwa 600
Ni kucheza na maji tu
Wife ngoja nikupigie gitaa wakati unaandaa nyama choma
Kula mke wangu nikupendae. Kim na Kanye West
Hata mchezo huu tunaumudu
Kim Kardashian akianika nguo huku mumewe Kanye West akiwa anamshuhudia
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni