.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 26 Mei 2014

TIMU YA TAIFA YA COLOMBIA YAMNGOJEA FALCAO APONE HADI DAKIA ZA MWISHO


Timu ya taifa ya Colombia itangojea kufanya maamuzi yake katika dakika za mwisho iwapo itamjumuisha katika kikosi chake cha Kombe la Dunian majeruhi Radamel Falcao.

Falcao, anapona jeraha lake la kwenye goti lililosababisha kufanyiwa upasuaji, kutokana na kuumia akiichezea timu yake ya Monano kwenye mchezo wa kombe la Ufaransa mwezi Januari.

Radamel Falcao bado yupo Monaco wakati timu ya taifa ya Colombia ikiwa imeweka kambi nchini Argentina.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni