.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 18 Mei 2014

CHINA KUPELEKA MELI TANO VIETNAM KUWAHAMISHA RAIA WAKE KUFUATIA GHASIA

Nchi ya China inatarajia kutuma meli tano kuwahamisha raia wake kutoka Vietnam kufuatia kuibuka kwa wimbi la ghasi za kupinga uwepo wa raia wa nchi hiyo huko Vietnam.

Serikali ya China tayari imeshahamisha zaidi ya raia wake 3,000 kwa mujibu wa ripoti ya shirika la habari la umma.

Meli ya kwanza imeanza safari hii leo, wakati ambapo raia 16 wa China walioumizwa vibaya wakiondolewa Vietnam kwa kutumia ndege.

Ghasi hizo za kuwapinga raia wa China zimepelekea kutokea kwa vifo vya wachina wawili na wengine kadhaa kujeruhiwa. 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni