.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 18 Mei 2014

VIONGOZI WA AFRIKA WAKUBALIANA KUANZISHA VITA DHIDI YA KUNDI LA BOKO HARAM

Viongozi wa Afrika wanaokutana Jijini Paris wamekubalia kuanzisha vita dhidi ya kundi la wapiganaji wa Kiislam la Boko Haram nchin Nigeria.

Rais wa Ufaransa, Francois Hollande ambaye ndie mwenyeji wa mkutano huo, amesema nchi hizo zimekubaliana kuchangia taarifa za kiitelenjisia pamoja na kushirikiana kukabiliana na kundi la Boko Haram.

Mwezi uliopita kundi hilo liliwateka wanafunzi wasichana 223 kaskazini mashariki mwa Nigeria. Pia kumeibuka na mashambulio mapya yaliyofanywa na kundi hilo nchini Nigeria na Cameroon usiku wa kuamkia leo.
                                 Kiongozi wa kundi la Boko Haram Abubakar Shekau

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni