.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 25 Mei 2014

JAMAICA YAWEKA REKODI MPYA KATIKA MBIO ZA KUPOKEZANA KIJITI

Timu ya Wanariadha Wanaume ya Jamaica imeweka rekodi ya dunia ya mbio za kupokezani vijiti za mita 200 mara 4 katika ufunguzi wa mbio za Kimataifa za kupokezana kijiti za IAAF, huko Nissau Bahama.

Wakati Usain Bolt akiponya jeraha lake la mguu, Yohan Blake aliiongoza timu ya wanariadha hao wanne kumaliza mbio hizo kwa muda wa 1:18:63 na kuvunja rekodi ya sekunde 0.05.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni