.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 25 Mei 2014

TIMU YA MANCHESTER UNITED YASEMA HAINA MPANGO TENA NA CESC FABREGAS

Manchester United haito jaribu kumsaka kiungo wa Barcelona, Cesc Fabregas, mwaka mmoja tu kupita tangu washindwe kumpata mchezaji huyo Mhispania.

Fabregas, inasemekana anataka kurejea katika Ligi Kuu ya Uingereza baada ya kutofanya vyema na kabu yake hiyo ya nyumani, hata hivyo wakati timu yake ya zamani ya Arsenal, ikifuatilia maendeleo yake kocha mpya wa Manchester Unite Louis van Gaal amesema hana mpango nae.

Mwaka jana Fabregas alikuwa akiwaniwa na kocha wa Manchester United aliyetimuliwa David Moyes hata hivyo baada ya mazungumzo ya wiki moja na kutenga kitita cha paundi milioni 30 mchezaji huyo aliamua kubakia Barcelona.
                                      Kocha mpya wa Manchester Unite Louis van Gaal

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni