.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 25 Mei 2014

MARAIS WANDOKA BAADA YA KUSHUHUDIA KUAPA KWA RAIS ZUMA LEO


Ndege za kijeshi zikiunda umbo la "20" kuashiria miaka ishirini ya Uhuru kamili wa Afrika Kusini katika sherehe za kuapa Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini kwenye ukumbi wa wazi wa Mandela katika jengo la Union Buildings mjini Pretoria, Afrika Kusini, leo Mei 24, 2014
Marais na viongozi toka nchi mbalimbali wakiondoka Union Buildings baada ya kushuhudia Rais Jacob Zuma akiapa kuwa Rais wa Afrika Kusini kwenye ukumbi wa wazi wa Mandela katika jengo la Union Buildings Mjini Pretoria, Afrika Kusini, leo Mei 24, 2014. (Picha na Ikulu).                                                        

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni