.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 27 Mei 2014

MTORO DENNIS OLIECH KUTOCHEZA MCHEZO WA MARUDIAMO NA COMORO

Kocha Mkuu wa Harambee Stars Adel Amrouche amesema mshambuliaji Dennis Oliech hatocheza dhidi ya Comoro katika mchezo wa marudiano wa kuwani kufuzu michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika 2014.

Kocha Amrouche amechukizwa na kitendo cha mchezaji huyo ambaye aliwahi kuwa kapteni wa timu ya Harambee Stars, kutoweka katika mazoezi ya timu hiyo bila ya ruhusa na sasa hatocheza mchezo wa Ijumaa.

Oliech, ambaye ni miongoni mwa wachezaji wakongwe katika kikosi cha Harambee Stars, aliondoka kwenye kambi mara baada ya Kenya kuifunga Comoro 1-0 katika mchezo uliochezwa siku kumi zilizopita.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni