.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 27 Mei 2014

STAN WAWRINKA AVURUNDA NA KUAONJA MACHUNGU YA KUTOLEWA FRENCH OPEN

Mchezaji tenesi Stan Wawrinka amekuwa wa kwanza kuonja machungu ya kutolewa kwenye michuano ya wazi ya Ufaransa baada ya kuzidiwa kiwango na Mhispania Guillermo Garcia-Lopez.

Wawrinka anayeshika nafasi ya tatu kwa ubora wa mchezo huo ambaye pia ni bingwa wa michuano ya wazi ya Australia alifanya makosa 62 na kujikuta akichapwa kwa seti 6-4 5-7 6-2 6-0.

Wawrinka, alikuwa akijaribu kuwa mtu wa kwanza tangu Jim Courier mnamo mwaka 1992 kushinda michuano ya Wazi ya Australia na ya Ufaransa katika mwaka mmoja.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni