.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 27 Mei 2014

JESHI LA NIGERIA LASEMA LIMEGUNDUA WANAPOSHIKILIWA ZAIDI YA WASICHANA 200

 Jeshi la Nigeria limesema linafahamu sehemu ambayo zaidi ya wasichana 200 wanashikiliwa na kundi la kigaidi la Boko Haramu waliotekwa toka mwezi uliopita, lakini hawatatumia nguvu kwenda kuwakomboa ili kuepuka maafa zaidi kutokea. 

Mkuu wa jeshi nchini Nigeria, Air Marshal Alex Badesh amesema jana kuwa, kutumia nguvu kubwa kunaweza kuwaua wasichana wenyewe waliotekwa na kundi hilo.
Badesh alisema kuwa, taarifa nzuri kwa wazazi na wanafunzi hao ni kuwa wamegundua ni wapi wanashikiliwa mateka wasichana hao, lakini hawawezi kupataja kwasasa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni