.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 27 Mei 2014

MSHAMBULIA WA CHELSEA ROMELU LUKAKU AIFUNGIA UBELGIJI HAT-TRICK

Mshambuliaji wa Chelsea Romelu Lukaku amefunga mabao matatu yaani hat-trick na kuisaidia timu yake ya Taifa la Ubelgiji kuibuka na ushindi wa mabao 5-1 dhidi ya majirani zao Luxembourg.

Katika mchezo huo kinda wa Manchester United, Adnan Januzaj alicheza mchezo wake wa kwanza wa kimataifa baada ya kuingia katika mabadiliko yaliyofanywa na kocha wa Ubelgiji.

Winga wa Tottenham, Nacer Chadli pamoja na aliyekuwa kiungo wa Chelsea, Kevin De Bruyne walifunga goli moja kila moja katika mchezo huo ambao Belgium walipata ushindi huo wa kishindo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni