.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 27 Mei 2014

NSSF YASHIRIKI MAONESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA-TANGA


Muuguzi, Elionora Mmasi akiwapima wanachama wa NSFF waliotembelea
banda lao wakati wa maonesho ya pili ya kibiashara yanayofanyika mkoani
Tanga.

Baadhi ya watu waliofika katika banda la NSSF wakipata maelezo kutoka kwa maofisa wa Shirika hilo kuhusu Fao la Matibabu wakati wa maonesho ya
pili wa kibiashara yanayofanyika mkoani Tanga.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni