.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 28 Mei 2014

OLIVER GIROUD AONYESHA MAKALI YAKE KATIKA TIMU YA TAIFA YA UFARANSA

Mchezaji Olivier Giroud ameonyesha kwanini anapaswa kupangwa kwenye kikosi cha kwanza cha timu ya taifa ya Ufaransa katika michuano ya Kombe la Dunia kwa kuonyesha kiwango kizuri katika mchezo wa kirafiki na Norway Jijini Paris.

Katika mchezo huo ambao Ufaransa iliibuka na ushindi mnono wa mabao 4-1 mshambuliaji huyo wa timu ya Arsenal alipachika mabao mawili, huko Pogba akipachika moja na Remy akifunga bao moja.


Mshambuliaji huyo wa Arsenal ni miongoni mwa washambuliaji watatu ambao wameitwa katika kikosi cha Ufaransa na kocha Didier Deschamps.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni