.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 26 Mei 2014

OSCAR PISTORIUS AWASILI KATIKA HOSPITALI YA WAGONJWA WA AKILI JIJINI PRETORIA

Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius amefika rasmi hii leo kwa mara ya kwanza katika hospitali ya wagonjwa wa akili Jijini Pretoria ili kupimwa afya ya akili yake.

Jaji anayesikiliza kesi yake ya mauaji inayomkabili, alimuagiza Pistorius kupimwa hali ya akili yake kwa siku 30 kama mgonjwa wa nje.

Uamuzi huo wa mahakama unatokana na madai ya upande wa utetezi kusema mwanariadha huyo anasumbuliwa na tatizo la akili yake kujawa na hofu kitaalam inajulikana kama Generalised Anxiety Disorder (Gad).

Mwanariadha huyo amekanusha kuwa alimua kwa makusudi mpenzi wake Reeva Steenkamp Februari 14, mwaka jana.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni