.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 25 Mei 2014

PAPA FRANCIS ATAKA KUMALIZIKA KWA MGOGORO WA PALESTINA NA ISRAEL

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis ametaka kumalizika kwa mgogoro usiokubalika wa Palestina na Israel, wakati akiwa kwenye ziara yake katika Ukanda wa Magharibi kwenye Mji wa Bethlehem.

Kauli hiyo wa Papa Francis ameitoa wakati akikutana na kiongozi wa Palestina Mahmoud Abbas ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya siku tatu ya Mashariki ya Kati.

Papa Francis pia aliendesha misa ya wazi ya watu 8,000 wakristo wenyeji wa mji wa Bethlehem wa Kanisa la Wazawa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni