.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 27 Mei 2014

POLISI NCHINI JAPAN WANACHUNGUZA TUKIO LA MWANAKE ALIYEUWAWA NA MWILI WAKE KUTUMWA KWA NJIA YA POSTA


Wapelelezi wa kesi za mauaji nchini Japan wanachunguza kesi ya msichana mmoja ambaye ameuwawa na kisha mwili wake kufungashwa kwenye boksi na kutumwa kwa njia ya posta kama kifurushi.

Mwili wa msichana huyo Rika Okada umekutwa kwenye boksi la mita mbili lililoandikwa doll, yaani kikaragosi kwenye kabati la kuhifadhia vifurushi katika Mji wa Hachioji Magharibi mwa Tokyo baada ya kutoweka tangu mwezi Machi.

Kampuni ambayo ilisafirisha boksi lililokuwa na mwili huo kutoka Osaka hadi Jiji la Tokyo imesema oda ya malipo ya kusafisha boksi hilo lenye mwili ililipwa kwa kutumia jina la marehemu Okada.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni