.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 27 Mei 2014

SERIKALI YA MALAYSIA YATOA TAARIFA SAHIHI ZA KUANGUKA BAHARINI NDEGE YAKE


Serikali ya Malaysia imetoa taarifa halisi zilizotomika kubaini ndege ya Malaysia iliyopotea ya MH370 kuwa ilianguka Kusini mwa bahari ya India.

Taarifa hizo kwanza zilitolewa kwa ndugu wa abiria wa ndege hiyo, ambao walitaka kuwepo kwa uwazi mkubwa katika suala hilo, na baadae nakala zake ndipo zikasambazwa kwa vyombo vya habari.

Nakala za taarifa hiyo zilizotolewa leo zina ukurasa 47 za taarifa, pamoja na maandiko ya  kampuni ya Uingereza ya Inmarsat.

Ndege ya MH370 ilipotea Machi 8 ikitokea Kuala Lumpur kwenda Beijing ikiwa na abiria 239 wengi wao wakiwa raia ya China.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni