.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 27 Mei 2014

WATU 40 WAUWAWA KATIKA MAPIGANO KATIKA MJI WA DONETSK NCHINI UKRAINE

Watu wapatao 40 wameuwawa wakiwemo wapiganaji 30 katika mapambano yaliyodumu kwa saa 24 Mashariki mwa Ukraine katika Mji wa Donetsk.

Mauaji hayo yanafuatia mapigano makali ya katika mji huo, ambapo vikosi vya jeshi vimetumia ndege za jeshi kuwapiga waasi wanaounga mkono Urusi.

Kiongozi wa waasi amedai kuwa waliouwawa ni wapiganaji wenzake na kunataarifa damu zimetapakaa katika eneo hilo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni